Siyo kwamba nimeisahau bali ninaitumia kila siku na ina hata hint lakini inagoma kabisa kwa sasa na humo kuna mambo muhimu sana
Hapa solution ni nini?
nitashukuru
Kuna laptop yangu imeibiwa inawezekana ikawa ndo hiyo
Hawezekani ukasahau password yako, laptop ya wiz hiyo
Tumepata solution.
Mmoja wetu aliingia na kubadilisha parthword hivi sasa emeweka na imekubali
MJADALA UMEFUNGWA
ASANTE