Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Kwenye mchakato wa ku-apply SUA kwa mfumo wa online, wakati wa ku- register account unaambiwa "email not sent" na ukijaribu ku-recover password kwa kuweka username na phone number unaambiwa "wrong email" wakati email ni sahihi kabisa na inatumika! Mawasiliano yao nayo magumu.
Msaada kwa aliyeliona hili.
Msaada kwa aliyeliona hili.