Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,748
- 109,835
haa haa watu8 baba yangu alikuwa akipenda sana hizo nyimbo yaani akilewa ni lazima nyumba nzima mcheze, mama alikuwa anachukiaje sasa!!
Wazee wa zamani na zile bia za kunywea uvunguni (enzi za Nyerere ukionekana umelewa tu utakiona cha mtema kuni), walikuwa na fujo sana.
Eti enzi hizo ukionekana umelewa au unakunywa basi unaonekana una heeela...