Allydasmartboy001
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 604
- 218
Habari za muda huu ndugu zangu. Na mshukuru mungu mimi ni mzima wa afya. Nimekuja hapa ndugu zangu naombeni msaada wenu wa mawazo baada ya kupita level 4 semester 2 kwa GPA ndogo(GPA 3) mtihani wa NACTE ambayo sikuwai hata kuota ila na mshukuru mungu maana mwaka huu ufaur ulikuwa ni shida weng wameangukia kwenye SUPP na RM(kwa walio fatilia basi na iman watakuwa wame jionea hili). Naombeni ushaur wenu vitu gani nivifanye ili hii level 5 niongeze GPA yangu maana nimeambiwa level 5 shule ndio inaanza rasm.
Naomben ushauri wa hivi vitu:
1 Je kusoma vitabu ni vizuri zaid kuliko kusoma module??(level iliyopita sikuwahi kusoma hata kitabu kimoja zaid ya module).
2. Vitabu gani vizuri zaid kuvisoma kwa level yangu?
3. Je kuna yeyote mwenye bank ya maswali??( Chuon kwetu hawatupagi maswali na maanisha past paper hawatupi kabisa kwa hiyo hata mfano wa maswali huwaga hatujui unakuja kuona maswali CAT 1).
4. Naomba ushaur wowote unaujua utakaoweza nisaidia mdogo wenu. Chuo kinafunguliwa tar 22 mwez huu.
Samahani kwa kiswali kibovu ndugu zangu na kwa wale waliosoma zaman level 5 semester 1 masomo yetu ni
1 HEALTH PROMOTION
2 PEDIATRICS
3 PHARMACOLOGY
4 OBSTESTRICS & GYNECOLOGY
5 COMMUNICABLE DISEASE.
ASANTENI SANA WAKUBWA KWA MUDA WENU
Naomben ushauri wa hivi vitu:
1 Je kusoma vitabu ni vizuri zaid kuliko kusoma module??(level iliyopita sikuwahi kusoma hata kitabu kimoja zaid ya module).
2. Vitabu gani vizuri zaid kuvisoma kwa level yangu?
3. Je kuna yeyote mwenye bank ya maswali??( Chuon kwetu hawatupagi maswali na maanisha past paper hawatupi kabisa kwa hiyo hata mfano wa maswali huwaga hatujui unakuja kuona maswali CAT 1).
4. Naomba ushaur wowote unaujua utakaoweza nisaidia mdogo wenu. Chuo kinafunguliwa tar 22 mwez huu.
Samahani kwa kiswali kibovu ndugu zangu na kwa wale waliosoma zaman level 5 semester 1 masomo yetu ni
1 HEALTH PROMOTION
2 PEDIATRICS
3 PHARMACOLOGY
4 OBSTESTRICS & GYNECOLOGY
5 COMMUNICABLE DISEASE.
ASANTENI SANA WAKUBWA KWA MUDA WENU