Wakuu natumaini mpo flesh...naomba kusaidiwa simu yangu ya microsoft lumia kamera haifanyi kazi kabisa nikiifungua inaload alafu inarud kwenye menu tatizo limeanza baada ya kuianzisha simu upya(hard reset)mwenye kujua anisaidie
Wakuu natumaini mpo flesh...naomba kusaidiwa simu yangu ya microsoft lumia kamera haifanyi kazi kabisa nikiifungua inaload alafu inarud kwenye menu tatizo limeanza baada ya kuianzisha simu upya(hard reset)mwenye kujua anisaidie
Kwenye ku download amna options wanakupa either kutumia Wi-Fi au mobile network kama ipo chagua mobile network uwe na atlest 2g za data na internal memory inatosha au uweke sd card jaribu hivyo kwanza