msakhara
JF-Expert Member
- May 26, 2019
- 297
- 407
Habari wakuu... Kwa wale wataalamu wa afya au wazazi wenye uzoefu, naombeni ushauri wenu hapa "nina ujauzito wa miezi miwili, nimekutana na tone la damu kwenye nguo ya ndani mara mbili ndani ya week... Imenitia hofu sana!! "
Inaweza kuwa sababu ni nini?
Je, ninaweza vipi kuiepuka?
Inaweza kuwa sababu ni nini?
Je, ninaweza vipi kuiepuka?