Kwa msaada wangu just flash it..Nami nilipata tatizo kama lako nilirestore x1000..nikaenda kwa fundi wao ni story nyingi kwa sababau kaona hela alfu hawezi kazi..Nikatuliza kichwa nikagoogle nikatafuta tatizo for 2 hrs...mara "Problem Solved"..Tafuta Rom ya aina ya simu alfu "FLASH"