Peter Majaliwa
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 161
- 30
Msaada nimeweka password kwa kutumia email kwenye PC na sasa imegoma kuwaka.
Sio sababu hiyo.Msaada nimeweka password kwa kutumia email kwenye PC na sasa imegoma kuwaka
Hujajibu swali, nikmekuuliza ulifanya nini baada ya kutengeneza account kwa kutumia email ?! Na je imezima kabisa haiwaki au umeshindwa loginInatouch ya finger print