Ghulaam
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 1,847
- 1,440
- Thread starter
- #21
Ni mteja wa NMBhapo inategemea kama ww ni mteja wa bank ya NMB Au ni mteja wa bank nyingine lakini ulitumia ATM ya bank ya NMB kama ww ni mteja wa NMB it's easy to refund ela yako baada ya kupitia miamala ya cku hyo ktk ATM husika kama ela aikutoka lazima itakuwa imebaki ktk roller so ukienda ku clame watakurudishia fedha yako nadhani huwa ni baada ya cku 2-7
pia kama ww ni mteja wa bank nyingine ukatumia ATM ya NMB kwanza inatakiwa urudi kwenye branch ya bank yako andika barua kwa manager wa tawi la bank yako elezea situation ilivyo kuwa pia ktk maelezo yako usisahau kuandika tarehe, muda na cku lilipotokea ilo tatizo pia namba yako ya card ya ATM na account number ya iliyokuwa unataka kutoa hzo fedha then bank yako ndo watakuwa responsible kufatilia madai yako kwa NMB kama sheria na taratibu zinavyowataka swala hili uchukua cku14-45 kupata fedha yako