Samboko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2011
- 5,424
- 8,046
Habari wana jf,
Kuna rafiki yangu anatumia simu ya iphone 6 aliletewa na kaka yake na pia kaka yake huyo ndio alimuunganisha simu yake na email yake, sasa rafki yangu kachezea simu yake, sasa inahitaji password na kaka kaisahau, hawezi ku update app yoyote.
Kuna rafiki yangu anatumia simu ya iphone 6 aliletewa na kaka yake na pia kaka yake huyo ndio alimuunganisha simu yake na email yake, sasa rafki yangu kachezea simu yake, sasa inahitaji password na kaka kaisahau, hawezi ku update app yoyote.