ios version ipi?
ina 2FA enabled?, kama ndiyo ina probability kubwa ya kutoka mkuu11.1 mkuu
iphone 3? Mkuu hakuna iphone 3 inayoweza kuwa na icloud maana hizi zilishapigwa chini miaka mingi iliyopita hata servers za apple sidhani hata kama zinazitambua kwa sasa na kuwa na iphone 3 ni sawa na kuwa na kitorch maana zaidi ya kupiga kutuma sms na vipicha vya2.5megapixel hakuna la zaidiKuna iPhone 3 ina same problem jamaa kaletewa toka abroad
Jamaa anayo hiyo. Vipi unaweza kuifungua ?iphone 3? Mkuu hakuna iphone 3 inayoweza kuwa na icloud maana hizi zilishapigwa chini miaka mingi iliyopita hata servers za apple sidhani hata kama zinazitambua kwa sasa na kuwa na iphone 3 ni sawa na kuwa na kitorch maana zaidi ya kupiga kutuma sms na vipicha vya2.5megapixel hakuna la zaidi
Mkuu narudia hakuna iphone 3 yenye icloud, hata kwenye iphone 4 ni weak na inatoka. Ofcourse kwenye simu kuanzia iphone 5c kurudi chini inatoka kirahisi maana ni 32 processor na hiyo simu itakuwa na tatizo lingine siyo icloud na hata ukiitengeneza ni sawa na torch hata whatsapp huipati humoJamaa anayo hiyo. Vipi unaweza kuifungua ?
Congo siyo Kongowe