Msaada: Nimenunua simu yenye icloud

Msaada: Nimenunua simu yenye icloud

Yani sawa na kuuziwa gari bila funguoo...!
 
kwa ufupi haiwezekani kuiremove mpaka huyo alielogin mwenyewe afanye hivy😵mba Mungu sana isiwe ya wizi maana Icloud ni sehemu ya secutity ya simu za iphone.
 
Habari za muda huu wakuu nlikuwa nashida nahitaji msaada wenu,ni kwamba siku ya jana nilipitia pitia kupatana nikakutana na simu ya iphone 5s,nikaipenda but sina idea san na iphone basi nkaonana na maaskaji nkaikagua then nkamlipa but hakulog out account yake ya icloud,kufika home ndo wanaozjua jua iphone ndo wakanambia mistake nloifanya nlivyompigia mahkaji akasema yeye hyo sm alimpaga mdogo wake,hivyo mdogo wake alisahau password,alivyokata sm skumpata tena,je kuna njia gan ya kuweza kulog out,au kudown load vitu msaada tafadhali smu ndo nnayotumia now
niuzie mm nina elfu 50 hapa
 
Habari za muda huu wakuu nlikuwa nashida nahitaji msaada wenu,ni kwamba siku ya jana nilipitia pitia kupatana nikakutana na simu ya iphone 5s,nikaipenda but sina idea san na iphone basi nkaonana na maaskaji nkaikagua then nkamlipa but hakulog out account yake ya icloud,kufika home ndo wanaozjua jua iphone ndo wakanambia mistake nloifanya nlivyompigia mahkaji akasema yeye hyo sm alimpaga mdogo wake,hivyo mdogo wake alisahau password,alivyokata sm skumpata tena,je kuna njia gan ya kuweza kulog out,au kudown load vitu msaada tafadhali smu ndo nnayotumia now
Naona comment za wengi wanakutisha tu hapo,hyo apple id iliyo kwenye simu naweza kuishulikia nikaitoa na ww ukaweka yako na simu ikarudia thamani yake km hapo awali.kwa maelezo zaidi tuwasiliane
 
mkuu hiyo simu tumia ila kuwa makini na uwe tayari kupokea simu mpya za watakao ku trace ka ni ya wizi
 
Naona comment za wengi wanakutisha tu hapo,hyo apple id iliyo kwenye simu naweza kuishulikia nikaitoa na ww ukaweka yako na simu ikarudia thamani yake km hapo awali.kwa maelezo zaidi tuwasiliane
Mkuu unahakika nije inbox maana nami niliuziwa iPad na mtu yupo safarini ameishiwa nauli akitokea South Africa kila nikiifungua tu inanitaka Apple ID verification password sema tu nafanya kusikip nakuitumia kiugumu lakini haipiti dk inaleta msg ya kuupdate ICloud
 
Mkuu unahakika nije inbox maana nami niliuziwa iPad na mtu yupo safarini ameishiwa nauli akitokea South Africa kila nikiifungua tu inanitaka Apple ID verification password sema tu nafanya kusikip nakuitumia kiugumu lakini haipiti dk inaleta msg ya kuupdate ICloud
Hyo ni ipad gani? Na inarin ios ngapi?
 
Naona comment za wengi wanakutisha tu hapo,hyo apple id iliyo kwenye simu naweza kuishulikia nikaitoa na ww ukaweka yako na simu ikarudia thamani yake km hapo awali.kwa maelezo zaidi tuwasiliane
Hyo 5s irun ios ngapi?
 
Kwa wale wote mliyokuwa na tatzo km hlo la mlete mada muweke detail za kutosha ili iwe rahisi kusaidiwa
1. Ni iphone au ipod gani
2. Inarun ios ngap
3. Je mail app ipo signed au logout

Kisha mje inbox
 
Kwa wale wote mliyokuwa na tatzo km hlo la mlete mada muweke detail za kutosha ili iwe rahisi kusaidiwa
1. Ni iphone au ipod gani
2. Inarun ios ngap
3. Je mail app ipo signed au logout

Kisha mje inbox
Fursa hiyo mkuu....Vijana wanalialia hapaa kumbe mtaalamu upoo!!
 
Kwa wale wote mliyokuwa na tatzo km hlo la mlete mada muweke detail za kutosha ili iwe rahisi kusaidiwa
1. Ni iphone au ipod gani
2. Inarun ios ngap
3. Je mail app ipo signed au logout

Kisha mje inbox

kashindwa FBI
 
Habari za muda huu wakuu

Nina shida nahitaji msaada wenu. Siku ya jana nilipitia pitia kupatana nikakutana na simu ya iphone 5s, nikaipenda but sina idea sana na iphone.

Basi nikaonana na muuzaji nkaikagua then nikamlipa but hakulog out account yake ya icloud.

Kufika home ndo wanaozijua iphone wakanambia mistake niliyoifanya. Nilivyompigia muuzaji akasema yeye hiyo simu alimpaga mdogo wake, hivyo mdogo wake alisahau password. Alivyokata simu sikumpata tena.

Je, kuna njia gani ya kuweza kulog out au kudownload vitu?

Msaada tafadhali, simu ndo ninayotumia hivi sasa
Great thinker wa jf huyo
 
Back
Top Bottom