Msaada: Nimempenda Msichana ambaye hapendi Mwanaume mwenye mtoto. Mimi ninaye mtoto ila hafahamu

Imepita takribani wiki, nilkutana na msichana mrembo anasajili laini, style ya kuingilia nikasajili laini, nikaomba no. aliniona smart sana maana nilimpgsha story za madini.

Ni msichana mrembo sana ana umri wa miaka 19, kamaliza form 4 2019, ila anaonekana n mschana mpambanaji, nljarbu kugusia background yao, akanismulia kila kitu na kwao sio wabovu ila alikataa kwenda chuo.

Badae kabisa alinikubalia na niko huru nae maana ata simu yake nashka ila laini bado anasajili, wanaume wengi wanamuomba namba ya smu anawapa namba ya kazini kwao, inshort m mwenyewe nmemuelewa ila kabla alasema alkua na mpenzi na waliachana kwa sababu huyo mwanaume alkua na mtoto na yeye hapendi mwanaume mwenye mtoto.

Mbaya zaidi mimi mtoto ninae ila nmemficha ila mschana ni mdogo mtaftaji na ni mrembo ana macho mazuri kama yale ya albino na shape ipo, kasema hajawai kutambulisha mtu kwao ila yuko tiar kunitambulisha mimi, sasa wakuu najiuliza huyu mtoto ni muweke ndani baada ya mwaka au ntakua nmechelewa

Naomba walio wahi kukutana na wasajili laini wanipe experience.
Wewe ni msukuma mkuu??
 
Wiki mbili bado ni mapema sana, narudia tena bado ni mapema sana halafu jitahidi kumuweka wazi kuhusu Mtoto aamue kusuka au kunyoa.
 
Imepita takribani wiki, nilkutana na msichana mrembo anasajili laini, style ya kuingilia nikasajili laini, nikaomba no. aliniona smart sana maana nilimpgsha story za madini.

Ni msichana mrembo sana ana umri wa miaka 19, kamaliza form 4 2019, ila anaonekana n mschana mpambanaji, nljarbu kugusia background yao, akanismulia kila kitu na kwao sio wabovu ila alikataa kwenda chuo.

Badae kabisa alinikubalia na niko huru nae maana ata simu yake nashka ila laini bado anasajili, wanaume wengi wanamuomba namba ya smu anawapa namba ya kazini kwao, inshort m mwenyewe nmemuelewa ila kabla alasema alkua na mpenzi na waliachana kwa sababu huyo mwanaume alkua na mtoto na yeye hapendi mwanaume mwenye mtoto.

Mbaya zaidi mimi mtoto ninae ila nmemficha ila mschana ni mdogo mtaftaji na ni mrembo ana macho mazuri kama yale ya albino na shape ipo, kasema hajawai kutambulisha mtu kwao ila yuko tiar kunitambulisha mimi, sasa wakuu najiuliza huyu mtoto ni muweke ndani baada ya mwaka au ntakua nmechelewa

Naomba walio wahi kukutana na wasajili laini wanipe experience.
jesus miaka 19??
 
Hebu nipe namba yake ya simu na mimi anisajilie line ili nianze kumpiga saundi, akinikubalia na tukaanza kuongea story kama hizi basi ujue sio wewe tu unaeambiwa hayo mko wengi
 
Kula kwanza mara kadhaa kisha mwambie ukweli, ataamua mwenyewe kama atazika ama atasafirisha.
 
Yaani wiki moja tu umewaza kuoa, tena binti kinda wa 19 years…. demu yeyote ukiweza kumla ndani ya miezi mitatu huyo sio mke.

We kula kisha achia na wenzako wamle.
 
Kula mbususu kwanza ndo umwambie una mtoto kama hataki asepe maana ata yy huyo mtoto mwenyewe hana na anaweza asipate hata huyo mtoto
 
Imepita takribani wiki, nilkutana na msichana mrembo anasajili laini, style ya kuingilia nikasajili laini, nikaomba no. aliniona smart sana maana nilimpgsha story za madini.

Ni msichana mrembo sana ana umri wa miaka 19, kamaliza form 4 2019, ila anaonekana n mschana mpambanaji, nljarbu kugusia background yao, akanismulia kila kitu na kwao sio wabovu ila alikataa kwenda chuo.

Badae kabisa alinikubalia na niko huru nae maana ata simu yake nashka ila laini bado anasajili, wanaume wengi wanamuomba namba ya smu anawapa namba ya kazini kwao, inshort m mwenyewe nmemuelewa ila kabla alasema alkua na mpenzi na waliachana kwa sababu huyo mwanaume alkua na mtoto na yeye hapendi mwanaume mwenye mtoto.

Mbaya zaidi mimi mtoto ninae ila nmemficha ila mschana ni mdogo mtaftaji na ni mrembo ana macho mazuri kama yale ya albino na shape ipo, kasema hajawai kutambulisha mtu kwao ila yuko tiar kunitambulisha mimi, sasa wakuu najiuliza huyu mtoto ni muweke ndani baada ya mwaka au ntakua nmechelewa

Naomba walio wahi kukutana na wasajili laini wanipe experience.
"ana macho mazuri kama yale ya albino" hebu jazia nyama kidogo hii verse
 
Back
Top Bottom