kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
Wewe ni msukuma mkuu??Imepita takribani wiki, nilkutana na msichana mrembo anasajili laini, style ya kuingilia nikasajili laini, nikaomba no. aliniona smart sana maana nilimpgsha story za madini.
Ni msichana mrembo sana ana umri wa miaka 19, kamaliza form 4 2019, ila anaonekana n mschana mpambanaji, nljarbu kugusia background yao, akanismulia kila kitu na kwao sio wabovu ila alikataa kwenda chuo.
Badae kabisa alinikubalia na niko huru nae maana ata simu yake nashka ila laini bado anasajili, wanaume wengi wanamuomba namba ya smu anawapa namba ya kazini kwao, inshort m mwenyewe nmemuelewa ila kabla alasema alkua na mpenzi na waliachana kwa sababu huyo mwanaume alkua na mtoto na yeye hapendi mwanaume mwenye mtoto.
Mbaya zaidi mimi mtoto ninae ila nmemficha ila mschana ni mdogo mtaftaji na ni mrembo ana macho mazuri kama yale ya albino na shape ipo, kasema hajawai kutambulisha mtu kwao ila yuko tiar kunitambulisha mimi, sasa wakuu najiuliza huyu mtoto ni muweke ndani baada ya mwaka au ntakua nmechelewa
Naomba walio wahi kukutana na wasajili laini wanipe experience.