kamikaze tz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 232
- 174
Ndio mkuu! Siku hizi usb flash zinatumika hata kwenye simu (otg).Flash unatumia kwenye simu! Labda niko nyuma kwenye haya masuala.
Flash unatumia kwenye simu! Labda niko nyuma kwenye haya masuala.
Asante kwa kunijuza.Ndio mkuu, zinatumika
Asante kwa kunijuza.Ndio mkuu! Siku hizi usb flash zinatumika hata kwenye simu (otg).
mkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.
jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.
mkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.
jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.
poa mkuu tunashukuru kwa feedbackHizi options zote 2 nimejaribu zimekataa, ila nimefanikiwa kwa njia ya setting, nimekwenda kwenye setting then guided access nikaweka on, imekubali mkuu.
Na mimi kuna tatizo katika TV yangu Samsung flat screen HDTV 32 4 series 4000 inaleta umeme Mdogo kushindwa kudetect external HDD kale kataa kwenye HDD kanablink tu, ila flash zinasoma bila tatizo kwenye user manuals inaonesha inauwezo wa kusoma HDD, nahitaji msaada nifanyaje ile iweze kusoma HDD kwako mkwawamkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.
jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.
Inawezekana kakaFlash unatumia kwenye simu! Labda niko nyuma kwenye haya masuala.
hili tatizo liliwahi kuletwa humu ila likaishia hewani hewani tu.Na mimi kuna tatizo katika TV yangu Samsung flat screen HDTV 32 4 series 4000 inaleta umeme Mdogo kushindwa kudetect external HDD kale kataa kwenye HDD kanablink tu, ila flash zinasoma bila tatizo kwenye user manuals inaonesha inauwezo wa kusoma HDD, nahitaji msaada nifanyaje ile iweze kusoma HDD kwako mkwawa
Hata mimi tatizo lipo kwangu kwenye star xNa mimi kuna tatizo katika TV yangu Samsung flat screen HDTV 32 4 series 4000 inaleta umeme Mdogo kushindwa kudetect external HDD kale kataa kwenye HDD kanablink tu, ila flash zinasoma bila tatizo kwenye user manuals inaonesha inauwezo wa kusoma HDD, nahitaji msaada nifanyaje ile iweze kusoma HDD kwako mkwawa
Tv ina sehemu moja ya usb ya data na iyo ya moto inakosa sehemu ya kuweka, hapo itakuwa vp!hili tatizo liliwahi kuletwa humu ila likaishia hewani hewani tu.
pengine labda utafute haka ka waya,
upande mmoja uwe ni wa kuingiza umeme na mmoja wa data, huo wa umeme uchomeke sehemu itakayoleta umeme wa kutosha mfano chaja ya simu au laptop au kifaa chengine kinachotoa umeme wa usb mkubwa na upande mwengine uingie kwenye tv.
Yeah,zipo kama unahitaji nikuuzieFlash unatumia kwenye simu! Labda niko nyuma kwenye haya masuala.
Tv ina sehemu moja ya usb ya data na iyo ya moto inakosa sehemu ya kuweka, hapo itakuwa vp!