Msaada: Nikitumia flash yangu kwenye iphone inagoma

kamikaze tz

JF-Expert Member
Apr 29, 2017
232
174
Wakuu habari? Flash yangu nikiitumia kwenye simu ya iPhone inajiweka offline baada ya muda kidogo, yaani kila baada ya dakika 2 au3 inajiweka offline lakini nikiitumia kwenye computer au kwenye tv inakubali vizuri. Naomba Mwenye ujuzi wa hii kitu anisaidie,
 
mkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.

jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.
 
mkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.

jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.

Ahsante kwa ushauri, ntajaribu kisha ntaleta mrejesho mkuu
 
mkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.

jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.

Hizi options zote 2 nimejaribu zimekataa, ila nimefanikiwa kwa njia ya setting, nimekwenda kwenye setting then guided access nikaweka on, imekubali mkuu.
 
mkuu flash inategemea umeme kutoka kifaa ambacho imechomekwa. my guess iphone ikisleep inakata umeme kwenye flash kutunza battery ndio maana inakuwa haisomi.

jaribu kuset power mode isiwe kwenye battery saver na utoe screenlock uone kama pia itakuwa inakata.
Na mimi kuna tatizo katika TV yangu Samsung flat screen HDTV 32 4 series 4000 inaleta umeme Mdogo kushindwa kudetect external HDD kale kataa kwenye HDD kanablink tu, ila flash zinasoma bila tatizo kwenye user manuals inaonesha inauwezo wa kusoma HDD, nahitaji msaada nifanyaje ile iweze kusoma HDD kwako mkwawa
 
Na mimi kuna tatizo katika TV yangu Samsung flat screen HDTV 32 4 series 4000 inaleta umeme Mdogo kushindwa kudetect external HDD kale kataa kwenye HDD kanablink tu, ila flash zinasoma bila tatizo kwenye user manuals inaonesha inauwezo wa kusoma HDD, nahitaji msaada nifanyaje ile iweze kusoma HDD kwako mkwawa
hili tatizo liliwahi kuletwa humu ila likaishia hewani hewani tu.

pengine labda utafute haka ka waya,
extra_power_usb_cable._dual-usb-y-cable-to-mini-usb-for-2-5-hdd-casing.jpg


upande mmoja uwe ni wa kuingiza umeme na mmoja wa data, huo wa umeme uchomeke sehemu itakayoleta umeme wa kutosha mfano chaja ya simu au laptop au kifaa chengine kinachotoa umeme wa usb mkubwa na upande mwengine uingie kwenye tv.
 
Na mimi kuna tatizo katika TV yangu Samsung flat screen HDTV 32 4 series 4000 inaleta umeme Mdogo kushindwa kudetect external HDD kale kataa kwenye HDD kanablink tu, ila flash zinasoma bila tatizo kwenye user manuals inaonesha inauwezo wa kusoma HDD, nahitaji msaada nifanyaje ile iweze kusoma HDD kwako mkwawa
Hata mimi tatizo lipo kwangu kwenye star x
 
hili tatizo liliwahi kuletwa humu ila likaishia hewani hewani tu.

pengine labda utafute haka ka waya,
extra_power_usb_cable._dual-usb-y-cable-to-mini-usb-for-2-5-hdd-casing.jpg


upande mmoja uwe ni wa kuingiza umeme na mmoja wa data, huo wa umeme uchomeke sehemu itakayoleta umeme wa kutosha mfano chaja ya simu au laptop au kifaa chengine kinachotoa umeme wa usb mkubwa na upande mwengine uingie kwenye tv.
Tv ina sehemu moja ya usb ya data na iyo ya moto inakosa sehemu ya kuweka, hapo itakuwa vp!
 
Tv ina sehemu moja ya usb ya data na iyo ya moto inakosa sehemu ya kuweka, hapo itakuwa vp!

Kwa nilivyomuelewa ni kwamba, hiyo moja chomeka kwenye TV yako, nyingine uchomeke either kwenye kichwa cha chaja ya simu au kwenye Computer ili ijenereti umeme wa kutosha kutumika kwenye port ya TV.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom