Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,491
Wakuu salama.
Naomba kuuliza tatizo ni nini na sim card ya Tigo watu wanalalamika toka asbh wanapiga sipatikan lakin simu ipo on kwanini sipatikani?
Sijawahi fanya setting zozote kwenye simu naombeni ujuzi wenu shida inaweza kuwa nini.
Naomba kuuliza tatizo ni nini na sim card ya Tigo watu wanalalamika toka asbh wanapiga sipatikan lakin simu ipo on kwanini sipatikani?
Sijawahi fanya setting zozote kwenye simu naombeni ujuzi wenu shida inaweza kuwa nini.