Habari wana jf!Kama title ilivyo,yaani nikinywa kinywaji chochote cha barid napata maumivu makali sana katika jino langu la mbele juu.Tatizo litakua ni nini?
hiyo ni dalili ya mwanzo ya jino kutoboka cha kufanya badilisha dawa ya meno tumia sensodyne protect and repair hali hiyo kitaalamu huitwa tooth sensitivty pia muone dentist alifanyie filling
hiyo ni dalili ya mwanzo ya jino kutoboka cha kufanya badilisha dawa ya meno tumia sensodyne protect and repair hali hiyo kitaalamu huitwa tooth sensitivty pia muone dentist alifanyie filling
hiyo ni dalili ya mwanzo ya jino kutoboka cha kufanya badilisha dawa ya meno tumia sensodyne protect and repair hali hiyo kitaalamu huitwa tooth sensitivty pia muone dentist alifanyie filling
Mi yangu kuna kipind cha barid yalikua yanauma hatari yanafanya kama yanapasuka hiv dadeki maumivu usiku hulali ila nilikua natymia whitedn hile ya rangi nikabadili saiv hayaumi