sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,759
Habari za kazi wapendwa,
Naomba kujuzwa haya ndugu zangu:
1.Ni ofisi gani ninaweza kupata idadi ya watumishi wa serikali katika wilaya husika
2. Ni ofisi gani naweza pata idadi ya taasisi za umma(public institutions) zilizopo katika wilaya husika.
3. Ni microfinance zipi zinakopesha wafanyakaz wa serikali hapa Tz.
Ahsante wadau
Naomba kujuzwa haya ndugu zangu:
1.Ni ofisi gani ninaweza kupata idadi ya watumishi wa serikali katika wilaya husika
2. Ni ofisi gani naweza pata idadi ya taasisi za umma(public institutions) zilizopo katika wilaya husika.
3. Ni microfinance zipi zinakopesha wafanyakaz wa serikali hapa Tz.
Ahsante wadau