Msaada ndugu zangu

eddiecudo

Member
Joined
May 8, 2013
Posts
13
Reaction score
8
Nimetokwa vipele hivi sijui shida nini maana kama tetekuwanga nilishawahu kuugua nikiwa mdogo na kama wasemavyo tetekuwanga hairudi mara mbili. Haviumi ila vikitumbuka vinawasha.


 
Unaweza kuwa ni mmoja wa watu tetekuwanga ikakurudia.

Wahi kituo cha afya kilicho karibu.
 
Polesana mkuu....
Lamsingi, anza kula vizuri, pumzisha mwili wako, fanya mazowezi na ukule mashudu kwa wakati.....
Naomba niishie hapa mkuu, maana inasikitisha sana....
😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…