Msaada! Ndoto za x zinamsumbua

Msaada! Ndoto za x zinamsumbua

dvedastuss

Member
Joined
Apr 3, 2014
Posts
35
Reaction score
11
Kuna rafiki yangu aliachana na mume wake yapata miezi nane sasa tangu watengane,lakini rafiki yangu huyu ni wa kike anasumbuliwa sana na ndoto yakuwa anajiwa na mr wake huyo tena akiwa anashiriki tendo la ndoa je afanyeje ili hii ndoto iache kwani kila mara inamjia.
 
Anamfikiria sana ex wake ndio maana hamuondoki ndotoni,ndoto ni outcome ya matendo yetu ya mchana….Inaonekana hajaridhika au haridhishwi na mahusiano ya sasa kwenye maeneo hayo ndio maana anamfikiria ex wake na hatimae kumuota!
 
Ni ishara tosha anamfikiria sanaaa hata kama haliweki wazi
 
Anamfikiria sana ex wake ndio maana hamuondoki ndotoni,ndoto ni outcome ya matendo yetu ya mchana….Inaonekana hajaridhika au haridhishwi na mahusiano ya sasa kwenye maeneo hayo ndio maana anamfikiria ex wake na hatimae kumuota!


Ha ha haaa hajaridhika maeneo gani ati!!!!
 
Mwambie aache kulala hakika hatapata ndoto...
 
Ndo amekuambia ww
atakuwa anashda na wewe!!


Kuna rafiki yangu aliachana na mume wake yapata miezi nane sasa tangu watengane,lakini rafiki yangu huyu ni wa kike anasumbuliwa sana na ndoto yakuwa anajiwa na mr wake huyo tena akiwa anashiriki tendo la ndoa je afanyeje ili hii ndoto iache kwani kila mara inamjia.
 
Kuna rafiki yangu aliachana na mume wake yapata miezi nane sasa tangu watengane,lakini rafiki yangu huyu ni wa kike anasumbuliwa sana na ndoto yakuwa anajiwa na mr wake huyo tena akiwa anashiriki tendo la ndoa je afanyeje ili hii ndoto iache kwani kila mara inamjia.
Aende kanisani akaombewe, atakuwa ana jini
 
Asante zenu wote kwa mawazo na ushauri kwani yapo yalompa faraja,tabasam na hata uzuni ila ameshukuru
 
Back
Top Bottom