Mende leaf
Member
- Sep 28, 2019
- 22
- 0
Mimi ni mwanafunzi ambae nmechaguliwa chuo zaidi ya kimoja ambapo mzazi wangu akacomfirm chuo cha muce ambapo mimi ckitaki kwasababu nataka nibadilishe program kwenda sheria sasa nifanyaje naombeni ushauri kwasababu mzazi kacomfirm kipind mm npo jkt k2hy nkakosa cha kufanya nisaidieni ushauri nn nifanye
mtu aliyesoma BAED anaqeza kufanya kaz katika research cetres?
mtu aliyesoma BAED anaqeza kufanya kaz katika research cetres?