Msaada: Natokwa na harufu mbaya sana sehemu za siri

ha haaa kiasi. tukiwa naked huwezi isikia hata hapo ndio nashangaa. sijakaa sana kwenye mahusiano kulingana na hali yangu.
Yaan ujana wangu wote hii hali imeninyang`anya.
Ushawahi pata constipation au kuharisha muda mrefu??? Nadhani tatizo linaweza kuwa katika njia ya haja kubwa na sio pengine. Inawezekana kuna some leakage ya haja kubwa au ni jasho la matakoni hivo joto ndo linaongeza harufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante kwa pole.kuhusu id ya kale mm sina nimeelekezwa jf nime sign up.
Kwa maneno uliyo yaandika, na jinsi vile unavyo quote, ulipo mtaja mshana Jr na neno wakuu, bila kusahau Jf.....tehteehh
Bilashaka umejiskia fedheha kwasababu umehisi utachekwa
 
Body odour inatokana na natural bacteria kwenye mwili kula jasho letu na wanatoa waste products ambazo ni fatty acid, hizi huleta harufu mbaya.
Sehemu za joto ndiyo hali inazidi kuwa mbaya.

Tafuta antibacterial spray ujipulizie baada ya kuoga
Oga zaidi ya mara mbili kwa siku ukiweza.
Nope, His case is different, i know what he is going through, Hapo kuna nguvu za giza, natamani nitoe ushuhuda bahati mbaya sina art ya kuandika story ndefu.
 
Ushawahi pata constipation au kuharisha muda mrefu??? Nadhani tatizo linaweza kuwa katika njia ya haja kubwa na sio pengine. Inawezekana kuna some leakage ya haja kubwa au ni jasho la matakoni hivo joto ndo linaongeza harufu.

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna shida sehemu nyingine yoyote zaidi ya nilipo ainisha kwenye uzi
 
Nashukuru kaka, wewe ambaye unaushauri mzuri zaidi umsaidie kunitukana mimi hakutampa msaada yeye, I bless u.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kaka mlokole kwa matusi uliyovurumishiwa. Nimefurahi tu ulivyo malizia; I bless u. Ndivyo tunatakiwa tuwabariki wanao tuudhi.
Lakini, namhurumia aliyekutukana kwa sababu, hukuwa umemjibu yeye bali aliyeomba ushauri. Kila mtu atoe ushauri ila usitukanwe kwa ushauri wako.
Nakuunga mkono kuwa, Wewe mwenye shida, pokea ushauri huu kwani umesema kila hospitali kubwa umeenda na kwa ma specialists umeenda kote ni bure. Sasa, pokea huu ushauri wa huy mjamaa. Muulize kuwa uende kanisa gani?? Nia yetu upone tuu.
 
Pole sana ila usichoke kuhangaika ikiwa ht kwenda kwa watu wa tiba mbadala. Ipo siku utafanikiwa tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom