Ndio mkuu Chaji ukaaji kawaida na pia kama una matumizi makubwa itapata Joto. Kifupi mkuu kama una matumizi makubwa ya camera kwa bei rahisi ndio unanunua pixel otherwise kuna simu nzuri zaidi overall.
Ndio mkuu Chaji ukaaji kawaida na pia kama una matumizi makubwa itapata Joto. Kifupi mkuu kama una matumizi makubwa ya camera kwa bei rahisi ndio unanunua pixel otherwise kuna simu nzuri zaidi overall.
Kwa soko la Usa Rahisi kupata hapo ni Oneplus 10T, China redmi K60, Oneplus Ace pro etc.
Sema kama unataka UI kama pixel tafuta Oneplus.
Kwa midrange kibongo bongo ambazo perfomance inajitahidi na camera/Battery nzuri angalia simu za Vivo zinazoanziwa na V kama V29, Simu za Oppo Reno Series, Samsung A5x series, Redmi note series za Karibuni etc.
Kama priority ni camera na ukaaji chaji na unataka Flagship huchezi heavy games Consider pia simu za Mediatek, flagship za Vivo/Oppo za Karibuni pia zimeshuka bei ila hizi unazipata zaidi masoko ya China. Mfano Vivo X90