Then nunua chain saw faster kama unaona kuuchuna gamba takes long au kodi watu wa shoka- nguvu siku moja tu mkoroshi chini unatumia kuni zako!Mkuu mwaka mzima mbona mbali?
Mkuu mwaka mzima mbona mbali?
kuua kitu kisichokua na defense machanism huoni kuwa ni dhambi? tafuta dawa hasa mtwara zinatangazwa redion kila siku. kuua sio solution yenye hekima. mti mmoja una uwezo wa kutoa kilo 100 za korosho ghafi na kilo moja ya korosho ghafi ni shi TZS. 1,200 ambayo huwa inalipwa kwa installments. so mbali na kivuli na ku-preserve nature, ukiutunza vizuri huo mti unapata Annual turn over ya tzs 120,000 ambayo itaweza kugharimia kuzuia wadudu waharibifu kuzaliana juu ya mti huo.
kuua kitu kisichokua na defense machanism huoni kuwa ni dhambi? tafuta dawa hasa mtwara zinatangazwa redion kila siku. kuua sio solution yenye hekima. mti mmoja una uwezo wa kutoa kilo 100 za korosho ghafi na kilo moja ya korosho ghafi ni shi TZS. 1,200 ambayo huwa inalipwa kwa installments. so mbali na kivuli na ku-preserve nature, ukiutunza vizuri huo mti unapata Annual turn over ya tzs 120,000 ambayo itaweza kugharimia kuzuia wadudu waharibifu kuzaliana juu ya mti huo.
mkuu lakini kuna kitu huwa nasikia wanaita kuvuna misitu, mfano ile nguzo inayoingiza umeme nyumbani kwako bila shaka ni mti uliokatwa, kwa hiyo ni dhambi sana sisi wanadamu tunapata...je wewe unakula nyama ya ng'ombe? au vegeterian? vyote hivyo ni viumbe hai ambavyo mwenyezi mungu alitupa tuvitawale....
labda waliobobea kwenye maandiko matakatifu watusaidie kama kukata mti ni dhambi
Umwagie mafuta ya ubuyu!
mi nakushauri utafute dawa ya
kuangamiza hao wadudu,uendelee kufaidi kivuli na matunda ya mkorosho.
Mazingira bila miti ni janga.