Ni honda ct 90 or yamaha t90t mate. Ni nzuri na imara,kuhusu matengenezo vifaa vinapatika sema tatizo kuwa bei yake vinakuwa juu sana maana ni genwn. Bei honda ni 1.8m,yamaha ni 1.6m. Ni ngumu balaa.mi ninayo yamaha,ni nzuri sna kwa shuguli za kilimo or shamba,fundi utakuwa unakutana naye kwenye servie ndogondogo tu kama kubadilisha oil.mchina sikushauri ni bora ununue boxer au bajaj nazo ni nzuri,japo boxer huwa zinasumbua engine.