Msaada, nataka kufungua kampuni ya ulinzi

Mada inahusu namna ya kuanzisha kampuni ya ulinzi
 
Mweleze namna ya kufungua kampuni na si ngojera ohho nakumbuka miaka fulani. Hahitaji historia anahitaji msaada namna ya kufungua kampuni ya ulinzi. Bwege kwa kuandika na mtizamo wako sawa lakini kwa knowledge nadhani unaweza kuwa bwege namba moja kati ya mabwege wote walioko JF.

Bwege kwa maana ya kwamba umeshindwa hata kuelewa nini anachohitaji mleta mada. Form four wa form form F POINT 33
 
Kufungua silaha na kufunga hata mgambo anafundishwa, JKT wa kujitolea anafundishwa pia na hata makampuni binafsi ya ulinzi kwa kushirikiana na polisi walinzi wao hufundishwa silaha.

Alafu kuhusu bando mimi si tumii bando la kuunga unga amka hata saa nane usiku utakuta ID yangu iko online siku 31 kwa mwezi anza leo kufanya utafiti wako. Nimekukumbusha kistaarabu kuwa mleta mada anahitaji kuelezwa namna ya kufungua kampuni ya ulinzi.

Kwa kuwa huna unalolijua mbulula wewe unakimbilia kutukana, matusi ni dalili za mtu aliyekosa hoja. Na kujiita JF Expert kwani tofauti yake nini na mtu ambaye amejiunga JF leo, kinachohitajika ni uwezo wako wa kuchanganua mambo na si muda wa kukaa JF.

Niko humu miaka mingi mno ila tu utaratibu niliyojiekea ikifika kipindi fulani nabadilisha ID maisha yanaendelea.
 
Naomba nije inbox kwa ushauri
 
Wazungu wanasema "NEVER ARGUE WITH STUPID PEOPLE, THEY WILL DRAG YOU DOWN TO THEIR LEVEL AND THEN BEAT YOU WITH EXPERIENCE"

Sijajua kwann umeshobokea Maoni yangu sijajua.

Mwenye huu uzi amekaa kimya nashangaa wew na akili zako za ovyo tena mwanaume mzima unakua na tabia za kishangingi.

Nakuhakikishia jamaa atakuja kutoa uzi wa shukrani akinicheki nimpe "experts"

Nilipo soma huu uzi ulinikumbusha tukio Moja lililotaka kumpeleka jela kijana mmoja wa kimaskini asiye kua na hatia.

Nilijaribu ku share experience jinsi Yule kijana alivyo taka kupewa kesi ya upotevu wa kiasi kisicho pungua 5m

Ngoja Ni ishie hapo.

Kuna muda unaweza ukasoma UJUMBE si lazima uweke rabish....
Unapiga kimya

Naomba mimi na wewe KILA mtu achukue Time zake.
 
KWA HUDUMA

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKUTOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
Klin&Brite
 
Nahitaji kuanzisha company ya Ulinzi nipigie au naomba namba yako 0711431980 nipo Njombe Imma
Wewe hata hiyo kampuni ukianzisha hauta breakeven yaani umeshindwa kuona namba ya simu hapo, unaomba tena namba ya simu? Alafu usifikirie biashara ya kampuni ni rahisi hivo, kwenye soka unaenda kukutana na magiant ambao bima zao tu ni asilimia 200 endapo kuna mali itaibiwa au kupotea na ikayhibitika ni uzembe wao. Sasa wewe kampuni yako utaenda kumchaji mteja shilingi laki 2 alafu mlinzi imlipe laki moja bado hujamshonea uniform.
Kwa kukusaidia ili kuanzisha kampuni ya ulinzi mnatakiwa kuwa wakurugenzi kuanzia wawili. Na kila mmoja awe na kitambulisho na TIN, pia unatakiwa uwe na ofisi tayari ndo unaandika barua ya kuomba kuanzisha kampuni, barua inaelekweza kwa IGP, kupitia kwa RPC, kupitia OCD, kupitia ofisi ya serikali ya mtaa unakoishi.
Baada ya hapo kamati ya ulinzi na usalama itakuja kukagua. Kama wakilidhika watarudisha majibu wizara ya mambo ya ndani kwa IGP.
IGP akishatoa kibali ndo unaenda Brela. Kumbuka uniform kwa walinzi wote wa kampuni binafsi ni sheti nyeupe na suruali au sket ya dark blue.
Kila la heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…