Nitawezaje ku restore cm ambayo sio smart phone ili niweze kutoa password? Maana kuna mtu alikuwa anaichezea matokeo yake akai lock kabisa! Aina ya cm ni tecno ila ni ya keypad co smart phone! Msaada plz
Computer ninayo ndio apa ndugu yangu naomba nielekeze
Inaniambia input phone password
PC ninayo,nielekeze namna ya kuiflashKama ni nokia namba huwa ni 12345 kama hazijabadilishwa, samsung ni 1234, mchina zina code tofaut tofaut
Zaid kaflash kwenye kompyuta