shukrani mr. sangoma, japokua jamaa anacharge hela ndefuhii sikuflash kinachofanyika hapa ni kuunlock network na unapofanya hii huduma hakuna madhara yoyote yatakayo tokea kwenye simu yako unampa imei anakupa unlock code ya simu yako unaweza mcheki jamaa mkafanya biashara HUDUMA: Unlocking Phone by IMEI Number | JamiiForums | The Home of Great Thinkers