Semistocles
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,932
- 1,126
we kilazer,
umesha appeal? tupe mrejesho....
utanyooka tu
umesha appeal? tupe mrejesho....
utanyooka tu
J.e.s.c.a mkubwa wewe kumbe umefeli six unaanza sumbua wenzio kwa nyuzi zako za kutafuta kiki za kipuuzi
umefungua id mpya.?Naenda Muhas kama kawa na marks zangu hizi
Phys -C
Chem- A
Bios - B
Bam - B
Gs- F
Nilikuwa nataka ku appeal phys hawakunitendea haki
Unaweza kuwa kweli unakwenda MUHAS (in whch case congratulations)-lakini posting zako hazionyeshi kama uko serious. Ukipost kitu watu watachukulia kimzaha mzaha. Hata kama hatutumii majina yetu tutafakari kile tunachopost. La pili umetumia ID mbili tofauti kwenye uzi huo huo hii nayo haipendezi. Wish you all the best lakini tafakari zaidi.Naenda Muhas kama kawa na marks zangu hizi
Phys -C
Chem- A
Bios - B
Bam - B
Gs- F
Nilikuwa nataka ku appeal phys hawakunitendea haki
Sasa ukipataje four kwa hizo alamaNaenda Muhas kama kawa na marks zangu hizi
Phys -C
Chem- A
Bios - B
Bam - B
Gs- F
Nilikuwa nataka ku appeal phys hawakunitendea haki
Rekebisha tu tabia zakoSikupata 4 nilipata one ya 6 ila wadau wasingeweza kunielewa ndio maana nikatumia gia ya kupata 4 ili iwe rahisi kusaidiwa
a ha ha ha.....umefungua id mpya.?
utapapatika sana, lakini chuo huendiiiiiiiiiii!!!
uyu atatukoma humu maana amezidi jigamba sana

hahahaUnajua nini ka mkubwa , kuna wadau kipindi tunasoma ukiwaambia wasome wanakudharau na kukwambia maneno ya ajabu sasa mijitu kama hiyo ikifeli utawaambiaje? Si lazima uwacheke? hapa lazima niwacheke wakimaind shauri zao
hahaha
uwacheke au tukucheke?
bwana mdogo angalia usije ukaokota makopo,
safi sana mama waziri wa elimu kwa kuwakomesha vilazar.
heko kwako mama.
mkubwa unampatia sanaMkuu makini kuna wanaoenda na pt 3 shule inawakataa, kuwa humble kijana.Unajua nini ka mkubwa , kuna wadau kipindi tunasoma ukiwaambia wasome wanakudharau na kukwambia maneno ya ajabu sasa mijitu kama hiyo ikifeli utawaambiaje? Si lazima uwacheke? hapa lazima niwacheke wakimaind shauri zao
mkuu una roho ngumu sana kama ya paka!!!au sio ,ha ha ha basi poa subirini mshushiwe GPA zaidi maana ndo namna pekee ya kuwasaidia ****** kama wewe ha ha ha
Aiseemkuu una roho ngumu sana kama ya paka!!!
umenipa somo kubwa sana.
ukiachilia mbali kufeli kwako necta lakini bado una guts za kufungua biashara na kuendesha miradi ya mzee.
nyie ndo watu tunaowataka, watu wasiokata tamaa.
Ahahaaaaaah...Siwezi bishana na wewe uwezo wako mdogo sana wa kiakili byeeee
****** mkubwa wewe, mbwembwe zote kymbe msumbufu tuNaombeni msaada jamani nielekezeni ni njia zipi unapita ili mitihani yako ya taifa isahihishwe upya
Ahahaaaaaaah...ha ha ha mzee ile ID yako King Ngwaba umeiacha wapi?
Nakumbuaka kuna thread moja ulisema utaacha kutumia JF...ha ha ha mzee ile ID yako King Ngwaba umeiacha wapi?
Poa Kamanda...nimerudi kamanda kwa mara nyingine