Msaada nataka ku appeal mitihani ya taifa

Msaada nataka ku appeal mitihani ya taifa

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,877
Reaction score
31,653
Naombeni msaada jamani nielekezeni ni njia zipi unapita ili mitihani yako ya taifa isahihishwe upya
 
Mitiani ya taifa ya kidato cha nne o cha six
Ila kama n cha NNE muda umeshaishaga
 
me ckushaur uapil kwan hutoweza kupata kile unachostahik hakuna kipya kitakacho onekana ktk hayo matokeo yako ukiweza rudia ama nenda diploma
ukitaka kuamini search matokeo ya kuanzia mwaka jana kulud nyima ya kuapil ndo utaona kwamba hakuna kipya zaid ya kuliwa pesa yako
 
J.e.s.c.a mkubwa wewe kumbe umefeli six unaanza sumbua wenzio kwa nyuzi zako za kutafuta kiki za kipuuzi
 
me ckushaur uapil kwan hutoweza kupata kile unachostahik hakuna kipya kitakacho onekana ktk hayo matokeo yako ukiweza rudia ama nenda diploma
ukitaka kuamini search matokeo ya kuanzia mwaka jana kulud nyima ya kuapil ndo utaona kwamba hakuna kipya zaid ya kuliwa pesa yako
nielekeze hivyo hivyo huenda nikaambulia hata division 3 ya mwisho
 
nielekeze hivyo hivyo huenda nikaambulia hata division 3 ya mwisho
J.e.s.c.a mkubwa wewe kumbe umefeli six unaanza sumbua wenzio kwa nyuzi zako za kutafuta kiki za kipuuzi
mdogo wangu naludia usiapeal ila kama ukitaka kuapeal fuata haya
nenda necta watakupa fomu
utajaza idada ya masomo unayotaka kuapeal kumbuka kila pepa 20,000tsh
ukimaliza utaludisha hiyo fomu baada ya hapo watakwambia lini tokeo litatoka
ila nahisi pia ushachelewa kwan nafasi hii huachiliwa pale tokeo linapotangazwa na hudumu kama mwez then hufungwa
 
mdogo wangu naludia usiapeal ila kama ukitaka kuapeal fuata haya
nenda necta watakupa fomu
utajaza idada ya masomo unayotaka kuapeal kumbuka kila pepa 20,000tsh
ukimaliza utaludisha hiyo fomu baada ya hapo watakwambia lini tokeo litatoka
ila nahisi pia ushachelewa kwan nafasi hii huachiliwa pale tokeo linapotangazwa na hudumu kama mwez then hufungwa
Asante kaka
 
Asilimia kubwa ya wanao Apil madaraja yao hushuka
 
Back
Top Bottom