burhan6196
Member
- Aug 23, 2018
- 65
- 84
Habari za muda huu;
Nilikua naomba details za masoko ya maziwa dar.
Nimepata connection ambayo inaweza ikanipa ltr 200+ za maziwa daily lakini bado sijapajua wapi naweza pata soko la ku push supply yote hio kila siku.
Katika reserch yangu nimegundua kua kuna soko kubwa la maziwa lililopo "ubungo maziwa" lakini bado sijapata details zake kamili kama bei?muda?aina ya uuzaji?masharti ya kuuza hapo maziwa?demand yake?
Mwenye detailz za hilo soko naziomba tafadhali au hata kma kuna soko jengne lenye demand kubwa ya kuweza ku supply ltr 200+ naomba details.
Shukran
Nilikua naomba details za masoko ya maziwa dar.
Nimepata connection ambayo inaweza ikanipa ltr 200+ za maziwa daily lakini bado sijapajua wapi naweza pata soko la ku push supply yote hio kila siku.
Katika reserch yangu nimegundua kua kuna soko kubwa la maziwa lililopo "ubungo maziwa" lakini bado sijapata details zake kamili kama bei?muda?aina ya uuzaji?masharti ya kuuza hapo maziwa?demand yake?
Mwenye detailz za hilo soko naziomba tafadhali au hata kma kuna soko jengne lenye demand kubwa ya kuweza ku supply ltr 200+ naomba details.
Shukran