Software Engineer
JF-Expert Member
- Dec 20, 2014
- 344
- 137
Wadau natafuta mchanga mlaini kwa ajili ya kupiga plasta kwenye nyumba.
Kwa anayefahamu dereva au mahali unapopatikana anifahamishe tafadhali.
Nipo jijini Dar es Salaam.
Kwa anayefahamu dereva au mahali unapopatikana anifahamishe tafadhali.
Nipo jijini Dar es Salaam.