Msaada..Natafuta kioo cha TV sumsung Mpya nch 32, flat screen

Msaada..Natafuta kioo cha TV sumsung Mpya nch 32, flat screen

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,953
Reaction score
6,996
Wah..Nimenunua TV haijamaliza hata Mwaka , imedodonka kutoka mezani hivyo kioo kikacrack na hivyo huwezi kuon oicha kwani inaonyeshwa kunawino umevilia. je kunauwezekano wowote wakuirehekebisha ikarudi kama kawaida? Je nifanye kufanikiwa shida yangu.
Asante
 
pole , nunua mpya

ukipeleka kwa fundi ku repair (gharama ya kioo+ufundi) bei itakua 75% ya bei mpya (au zaidi) + stress juu
 
siku nyingne ununkue zenye screen protector unafuu upo
 
Ushauri wangu ni bora ununue tv mpya tu. Samsung vioo vyake viko juu sana utashangaa gharama za kioo+usafiri+ufundi n.k unaweza kupata nyingine dukani
 
Mi mwenyewe nina tatzo kama lako mkuu sijapata suluhu maana bei ya kioo pamoja na ufundi niliambiwa laki 4 na nusu nimeamua kununua nyingine kama kuna mtu anahitaji spare nauza.
 
Mkuu
Wah..Nimenunua TV haijamaliza hata Mwaka , imedodonka kutoka mezani hivyo kioo kikacrack na hivyo huwezi kuon oicha kwani inaonyeshwa kunawino umevilia. je kunauwezekano wowote wakuirehekebisha ikarudi kama kawaida? Je nifanye kufanikiwa shida yangu.
Asante
Bei ya kioo pamoja na FUNDI ni laki tatu na nusu, mi pia ya kwangu MTOTO alipiga kioo kikapasuka nimetengeneza kwa hiyo gharama
 
Mi mwenyewe nina tatzo kama lako mkuu sijapata suluhu maana bei ya kioo pamoja na ufundi niliambiwa laki 4 na nusu nimeamua kununua nyingine kama kuna mtu anahitaji spare nauza.
Mkuu huwa ni 3.5k gharama yake, alikuambia 4.5 k alitaka kukupiga
 
Na mm niliona napigwa alaf tatizo la hivi vioo havipatikani kwa urahisi na mwenye nacho anauza mkasi.
Mkuu huwa ni 3.5k gharama yake, alikuambia 4.5 k alitaka kukupiga
 
Mkuu
Bei ya kioo pamoja na FUNDI ni laki tatu na nusu, mi pia ya kwangu MTOTO alipiga kioo kikapasuka nimetengeneza kwa hiyo gharama
Mkuu ulitengeneza wapi...nina tv 39" BOSS nilivunja kioo...
 
Wah..Nimenunua TV haijamaliza hata Mwaka , imedodonka kutoka mezani hivyo kioo kikacrack na hivyo huwezi kuon oicha kwani inaonyeshwa kunawino umevilia. je kunauwezekano wowote wakuirehekebisha ikarudi kama kawaida? Je nifanye kufanikiwa shida yangu.
Asante
Oya ko umetengeneza tv yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom