Msaada natafuta kazi.

Msaada natafuta kazi.

dynnalovee

Member
Joined
Nov 12, 2016
Posts
11
Reaction score
14
Za asubuhi wapendwa. Mimi ni msichana Nina miaka 24 naishi dar es salaam. Natafuta kazi sehemu yeyote mijini au kijijini pote nipo tayari kufanya.

Ninaomba msaada wenu. Nimekaa nyumbani nimechoka na mtu akisema nijiajiri napenda sana kujiajiri lakini suala la kujiajiri nalo linahitaji pesa.

Kwa sasa hata hela ya kuishi nawaza. Najua huku kuna mawaziri wakurugenzi, na hata watu wenye makampuni naombeni mnisaidie Mimi mwanenu. Nahitaji kazi yeyote sichagui kutokana na elimu yangu ilimradi nipate pa kuponea. Asanteni na mbarikiwe
 
ume-generalise mno itakuwa shida kwa mtu mwenye nia njema kukusaidia.

Taja sifa zako hata kama huchagui kazi..elimu yako, skills, na vingine ambavyo unahisi vinaweza kukupa edge kwenye kupata kazi (lugha).

Usikate tamaa hadi kuandika.
 
ume-generalise mno itakuwa shida kwa mtu mwenye nia njema kukusaidia.

Taja sifa zako hata kama huchagui kazi..elimu yako, skills, na vingine ambavyo unahisi vinaweza kukupa edge kwenye kupata kazi (lugha).

Usikate tamaa hadi kuandika.
Asante kufundisha naweza kingereza na kiswahili, kufanya kazi stationary maana najua kutumia kompyuta, pia hata nikipata secretary ntashukuru. Inaumiza sana unapomaliza chuo afu unakaa nyumbani ukiwa kama mtu mwenye kuhitaji kufanya mambo afu huna pa kuanzia. Kikubwa kazi hata ya kujitolea nipate ujuzi zaidi.
 
Asante kufundisha naweza kingereza na kiswahili, kufanya kazi stationary maana najua kutumia kompyuta, pia hata nikipata secretary ntashukuru. Inaumiza sana unapomaliza chuo afu unakaa nyumbani ukiwa kama mtu mwenye kuhitaji kufanya mambo afu huna pa kuanzia. Kikubwa kazi hata ya kujitolea nipate ujuzi zaidi.

Umesomea nini chuoni?

- unajua kutumia computer applications gani?


By the way mimi sina kazi ya kukupa lakini naamini akija mdau aliye serious hapa anajua directly ni jinsi gani atakusaidia.


Again, usikate tamaa hadi tamaa!
 
Umesomea nini chuoni?

- unajua kutumia computer applications gani?


By the way mimi sina kazi ya kukupa lakini naamini akija mdau aliye serious hapa anajua directly ni jinsi gani atakusaidia.


Again, usikate tamaa hadi tamaa!
Asante kwa ushauri wako mkuu
 
Za asubuhi wapendwa. Mimi ni msichana Nina miaka 24 naishi dar es salaam. Natafuta kazi sehemu yeyote mijini au kijijini pote nipo tayari kufanya. Ninaomba msaada wenu. Nimekaa nyumbani nimechoka na mtu akisema nijiajiri napenda sana kujiajiri lakini suala la kujiajiri nalo linahitaji pesa. Kwa sasa hata hela ya kuishi nawaza. Najua huku kuna mawaziri wakurugenzi, na hata watu wenye makampuni naombeni mnisaidie Mimi mwanenu. Nahitaji kazi yeyote sichagui kutokana na elimu yangu ilimradi nipate pa kuponea. Asanteni na mbarikiwe

Unaweza kufanya kazi zipi za shambani.
 
Za asubuhi wapendwa. Mimi ni msichana Nina miaka 24 naishi dar es salaam. Natafuta kazi sehemu yeyote mijini au kijijini pote nipo tayari kufanya. Ninaomba msaada wenu. Nimekaa nyumbani nimechoka na mtu akisema nijiajiri napenda sana kujiajiri lakini suala la kujiajiri nalo linahitaji pesa. Kwa sasa hata hela ya kuishi nawaza. Najua huku kuna mawaziri wakurugenzi, na hata watu wenye makampuni naombeni mnisaidie Mimi mwanenu. Nahitaji kazi yeyote sichagui kutokana na elimu yangu ilimradi nipate pa kuponea. Asanteni na mbarikiwe
Nitafute kwa no hii. 0765449091
 
Kuwa makini lakini mtu anakuahidi kazi bila kukutest
 
Za asubuhi wapendwa. Mimi ni msichana Nina miaka 24 naishi dar es salaam. Natafuta kazi sehemu yeyote mijini au kijijini pote nipo tayari kufanya. Ninaomba msaada wenu. Nimekaa nyumbani nimechoka na mtu akisema nijiajiri napenda sana kujiajiri lakini suala la kujiajiri nalo linahitaji pesa. Kwa sasa hata hela ya kuishi nawaza. Najua huku kuna mawaziri wakurugenzi, na hata watu wenye makampuni naombeni mnisaidie Mimi mwanenu. Nahitaji kazi yeyote sichagui kutokana na elimu yangu ilimradi nipate pa kuponea. Asanteni na mbarikiwe
Taaluma yako ni IPI? Tuna hospital unaweza kuwa MTU wa usafi?
 
Mtu anaomba kazi wewe unauliza huko chini kukoje !!! Yaani watu aina yako huwa hawana pesa pia ni wachafu sana boxer zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom