Msaada natafuta gari ya 7m

Mbwa dume

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
6,289
Reaction score
10,963
Amani kwenu,

Binafsi namshukuru Mungu ameendelea kunijaalia mafanikio makubwa katika hii biashara yangu ya vile vitanda vya moja kwa moja(majeneza)

Sasa nimekusanya kiasi cha pesa sh milioni 7 cash. Naomba kwa anayeweza kuniuzia gari ndogo ya bei hiyo tuwasiliane pm kwa mawasiliano na picha za gari hilo.

Liwe katika hali nzuri na lisilokula mafuta sana.

Karibuni sana.
 
Natamani kale kadada ka humu jf kaliko mkataa fundi wa majeneza, kakuje huku......
Habari ya Dodoma Mkuu....!!
Hongera sana bhana...
 
kama wewe pia ni mdau wa facebook basi nenda kule mtafute huyu mdau {Ammy Mwakitalu} atakusaidia manake naona huwa anapost sana gari za kuuza za bei tofauti tofauti ama kama vyepi mcheki kwenye number hizi 0716844309 au 0753559582

kila la heri
 
kama wewe pia ni mdau wa facebook basi nenda kule mtafute huyu mdau {Ammy Mwakitalu} atakusaidia manake naona huwa anapost sana gari za kuuza za bei tofauti tofauti ama kama vyepi mcheki kwenye number hizi 0716844309 au 0753559582

kila la heri
Asante mkuu.
Bdo natafuta ingawa kuna mdau mmoja wa Mwanza ameniPM ila bado hatujafikia mwafaka.
 
Mkuu hungesema hata aina ya gari unayotaka ata mtu akikwambia anataka kitanda cha milele utamuuliza aina gan?
 
Mkuu kuna mtu ana mitsubishi montero sports bei ndio hiyo hiyo suv ila Manually gear ila hali yake ni bomba sana haijumika sana
 
Mkuu kuna mtu ana mitsubishi montero sports bei ndio hiyo hiyo suv ila Manually gear ila hali yako ni bomba sana haijumika sana
Naomba picha mkuu.
Pia naomba specifications zake
 
Nenda fb search Magari Sokoni Showroom.
Utapata kila kitu mkuu
 
Ila kua makini na matapeli tu,
 
Nawashukuru wote mbarikiwe sana.!!!
Ingawa pm zilikuwa nyingi sikuweza kuwajibu wote ila nashukuru nimefanikiwa kupata gari niliyoitaka kupitia mdau mmoja aliyepo Dar na hivi sasa tuko kwenye hatua za ukaguzi ili tumalize mchakato.
Nawashukuru sana kwa ushirikiano wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…