Msaada: Natafuta fundi wa flat screen TV

Ndibalema

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2008
Posts
10,955
Reaction score
4,662
TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo.

Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana.

Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement tafadhali naomba ani'PM tufanye biashara.

Natanguliza shukrani.
 
Du! Mkuu hiyo kitu kama uko vizuri mfukoni ungetafuta tu nyingine, maana mafundi wake ni vigumu sana kuwapata!
 
Du! Mkuu hiyo kitu kama uko vizuri mfukoni ungetafuta tu nyingine, maana mafundi wake ni vigumu sana kuwapata!
Ni kweli mkuu. nilijaribu kwenda kwa dealer wa LG gharama za kioo kipya inakaribiana na gharama ya kununua TV nyingine mpya.
 

sema ulipo

fundi namjua yuko MKOA WA RUKWA VIP NIKUTUMIE NO ZAKE?
 
Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana
 
Ni kweli mkuu. nilijaribu kwenda kwa dealer wa LG gharama za kioo kipya inakaribiana na gharama ya kununua TV nyingine mpya.

Huyo dealer wa LG anapatikana wapi mkuu...thnx
 
Huyo dealer wa LG anapatikana wapi mkuu...thnx
Kwa Dar, anapatikana (jina la mtaa nimelisahau) karibia na tawi la bank ya NBC tawi la kichwele, near police post.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…