Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 May 12, 2014 #1 TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo. Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana. Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement tafadhali naomba ani'PM tufanye biashara. Natanguliza shukrani.
TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo. Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana. Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement tafadhali naomba ani'PM tufanye biashara. Natanguliza shukrani.
K kiparah JF-Expert Member Joined Sep 7, 2010 Posts 1,173 Reaction score 117 May 12, 2014 #2 Du! Mkuu hiyo kitu kama uko vizuri mfukoni ungetafuta tu nyingine, maana mafundi wake ni vigumu sana kuwapata!
Du! Mkuu hiyo kitu kama uko vizuri mfukoni ungetafuta tu nyingine, maana mafundi wake ni vigumu sana kuwapata!
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 May 12, 2014 Thread starter #3 Bigbro said: Du! Mkuu hiyo kitu kama uko vizuri mfukoni ungetafuta tu nyingine, maana mafundi wake ni vigumu sana kuwapata! Click to expand... Ni kweli mkuu. nilijaribu kwenda kwa dealer wa LG gharama za kioo kipya inakaribiana na gharama ya kununua TV nyingine mpya.
Bigbro said: Du! Mkuu hiyo kitu kama uko vizuri mfukoni ungetafuta tu nyingine, maana mafundi wake ni vigumu sana kuwapata! Click to expand... Ni kweli mkuu. nilijaribu kwenda kwa dealer wa LG gharama za kioo kipya inakaribiana na gharama ya kununua TV nyingine mpya.
Nyanya mbichi JF-Expert Member Joined Nov 10, 2011 Posts 3,716 Reaction score 2,218 May 12, 2014 #4 Ndibalema said: TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo. Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana. Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement tafadhali naomba ani'PM tufanye biashara. Natanguliza shukrani. Click to expand... sema ulipo fundi namjua yuko MKOA WA RUKWA VIP NIKUTUMIE NO ZAKE?
Ndibalema said: TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo. Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana. Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement tafadhali naomba ani'PM tufanye biashara. Natanguliza shukrani. Click to expand... sema ulipo fundi namjua yuko MKOA WA RUKWA VIP NIKUTUMIE NO ZAKE?
mke wa mkuu JF-Expert Member Joined Dec 19, 2013 Posts 634 Reaction score 277 May 12, 2014 #5 Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana
Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana
busby Senior Member Joined Apr 12, 2012 Posts 164 Reaction score 62 May 12, 2014 #6 Ndibalema said: Ni kweli mkuu. nilijaribu kwenda kwa dealer wa LG gharama za kioo kipya inakaribiana na gharama ya kununua TV nyingine mpya. Click to expand... Huyo dealer wa LG anapatikana wapi mkuu...thnx
Ndibalema said: Ni kweli mkuu. nilijaribu kwenda kwa dealer wa LG gharama za kioo kipya inakaribiana na gharama ya kununua TV nyingine mpya. Click to expand... Huyo dealer wa LG anapatikana wapi mkuu...thnx
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 May 13, 2014 Thread starter #7 busby said: Huyo dealer wa LG anapatikana wapi mkuu...thnx Click to expand... Kwa Dar, anapatikana (jina la mtaa nimelisahau) karibia na tawi la bank ya NBC tawi la kichwele, near police post.
busby said: Huyo dealer wa LG anapatikana wapi mkuu...thnx Click to expand... Kwa Dar, anapatikana (jina la mtaa nimelisahau) karibia na tawi la bank ya NBC tawi la kichwele, near police post.
busby Senior Member Joined Apr 12, 2012 Posts 164 Reaction score 62 May 13, 2014 #8 Ndibalema said: Kwa Dar, anapatikana (jina la mtaa nimelisahau) karibia na tawi la bank ya NBC tawi la kichwele, near police post. Click to expand... Thnx mkuu,najua huo mtaa
Ndibalema said: Kwa Dar, anapatikana (jina la mtaa nimelisahau) karibia na tawi la bank ya NBC tawi la kichwele, near police post. Click to expand... Thnx mkuu,najua huo mtaa
H hightower New Member Joined Jul 11, 2015 Posts 1 Reaction score 0 Sep 7, 2015 #9 mke wa mkuu said: Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana Click to expand... pazi bar maeneo gani haswa
mke wa mkuu said: Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana Click to expand... pazi bar maeneo gani haswa
ChickMagnet JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 2,702 Reaction score 3,553 Sep 7, 2015 #10 hightower said: pazi bar maeneo gani haswa Click to expand... opposite na biafra zamani pale ....kituo cha kanisani
hightower said: pazi bar maeneo gani haswa Click to expand... opposite na biafra zamani pale ....kituo cha kanisani
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 Sep 15, 2015 Thread starter #11 chickmaget said: opposite na biafra zamani pale ....kituo cha kanisani Click to expand... Asante mkuu
chickmaget said: opposite na biafra zamani pale ....kituo cha kanisani Click to expand... Asante mkuu
Bulamba JF-Expert Member Joined Sep 17, 2011 Posts 14,122 Reaction score 13,392 Jan 28, 2017 #12 mke wa mkuu said: Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana Click to expand... Naomba namba zake
mke wa mkuu said: Nenda kinondoni b karibu na pazi bar mtafute eddy anauza madish ni fundi mzuri sana mimi nilihangaika akanisaidia sana Click to expand... Naomba namba zake