charles ogopa tapeli
Senior Member
- Jul 15, 2013
- 122
- 49
Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es salaam, naombeni msaada wenu wanajamvi kwa yeyote anayejua kozi ya 'Post Graduate diploma in pharmacy' ama inayohusiana na hiyo anisaidie, niweze anza maisha mengine mapya ya elimu.
Nategemea ushirikiano positive kutoka kwenu wana jamvi.
Nategemea ushirikiano positive kutoka kwenu wana jamvi.