halley from city
Member
- Jan 22, 2019
- 88
- 73
Wakuu, samahani kwa usumbufu
Mdogo wangu kafaulu vizuri physics 'c' chemistry 'B' na biology 'B' bahati mbaya amepangiwa comb ya CBG tena kwenye shule ambayo haina PCB ambayo ndio ndoto yake
Kwa hiyo ninaomba wakuu wajuvi wa haya mambo(maana mimi siyo mzuri sana) mnisaidie shule nzuri anayoweza kuhamia (A'level school) nzuri yenye PCB
Pia kama nilivotangulia kusema kwamba mimi siyo mzuri sana,
naomba mnisaidie hata hatua za kufuata ili kukamilisha uhamisho huo
Dogo kapangiwa lufilyo sec school, busokelo dc, Mbeya
Naombeni msaada wenu, Natanguliza shukurani
Mdogo wangu kafaulu vizuri physics 'c' chemistry 'B' na biology 'B' bahati mbaya amepangiwa comb ya CBG tena kwenye shule ambayo haina PCB ambayo ndio ndoto yake
Kwa hiyo ninaomba wakuu wajuvi wa haya mambo(maana mimi siyo mzuri sana) mnisaidie shule nzuri anayoweza kuhamia (A'level school) nzuri yenye PCB
Pia kama nilivotangulia kusema kwamba mimi siyo mzuri sana,
naomba mnisaidie hata hatua za kufuata ili kukamilisha uhamisho huo
Dogo kapangiwa lufilyo sec school, busokelo dc, Mbeya
Naombeni msaada wenu, Natanguliza shukurani