henry normal
Senior Member
- Jun 13, 2015
- 120
- 31
Habar wapendwa,
Naomba kuuliza ni dawa gani inasaidia maumivu ya VISIGINO na maumivu katika magoti.
Naomba kuuliza ni dawa gani inasaidia maumivu ya VISIGINO na maumivu katika magoti.
Habar wapendwa ..naomba kuuliza n dawa gan inasaidia maumivu ya VISIGINO NA maumivu katika magotii
Muuza Swali Amenisaidia kuuliza !Kabla ya suala la dawa ni vyema kujua:
1: Umri
2: Uzito
3: Aina ya kazi unayofanya
4: Umekuwa na tatizo hili kwa muda gani?
5: Kuna kuvimba au kupata joto kwa maeneo husika.
6: Inatokea sehemu zote mbili, yaani kushoto na kulia?
Muuza Swali Amenisaidia kuuliza !
Kwangu mimi ni maumivu ya kisigino,mguu wa kushoto
1. Umri ni miaka 30
2. Kg 72
3. Kazi zangu ni za kutembea but si sana
4. Tatizo lina 4 month now
5.Hauvimbi na wala haupati joto ila maumivu wakati Mwingine hutoka kwenye kisigino na kuenea hadi kwenye joint ya mguu
6.ni Sehemu moja tu ya mguu wa kushoto.
NB
Maumivu haya ukiwa kwenye mizunguko ya kawaida hauwezi kuyasikia,ila huanza pale unapokuwa imekaa au ukiwa umelala unapotaka kuamka maumivu huuma sana
KabisaaKama hautojali,naomba utume tu hapahapa ili Mwingine pia apate msaada plz
Punguza uzito!!Muuza Swali Amenisaidia kuuliza !
Kwangu mimi ni maumivu ya kisigino,mguu wa kushoto
1. Umri ni miaka 30
2. Kg 72
3. Kazi zangu ni za kutembea but si sana
4. Tatizo lina 4 month now
5.Hauvimbi na wala haupati joto ila maumivu wakati Mwingine hutoka kwenye kisigino na kuenea hadi kwenye joint ya mguu
6.ni Sehemu moja tu ya mguu wa kushoto.
NB
Maumivu haya ukiwa kwenye mizunguko ya kawaida hauwezi kuyasikia,ila huanza pale unapokuwa imekaa au ukiwa umelala unapotaka kuamka maumivu huuma sana
Dr hapo dx na ddx ni nini naona mnx tu chiefPunguza uzito!!
Bila urefu umepataje bmi mkuu wanguPunguza uzito!!
Hapo SASA😁Bila urefu umepataje bmi mkuu wangu
Kama hautojali,naomba utume tu hapahapa ili Mwingine pia apate msaada plz🙏🙏
Ugonjwa huwa hautibiwi kwa mgonjwa kujilinganisha na mwenzake. Kila mmoja anawajibika kusikilizwa kivyake. Na kuna maswali kulingana na ugonjwa huwezi yauliza kwa kadamnasi.
Tiba pia zaweza kutofautiana kulingana na kwa mmoja chanzo kutofautiana na mwingine.
Pia ugonjwa hutofautishwa kwa urefu wa muda, kiasi cha dalili etc
Mambo yanakuwa ni mengi tuvumiliane.