Uboboh
JF-Expert Member
- May 21, 2023
- 307
- 900
Herbalist Dr MziziMkavu
Msaada pls.
Nimeota Bi Mkubwa kanipa kisu nikakamate kuku nichinje. Ile kutoka nikakuta kuku wengi ila sasa nikawaza kuwakamata kwa kuwakimbiza ni ujinga, nikapata wazo nikae nifanye kama nawapa msosi ili wasogee.
Hapo nikita kisu kushoto kwangu mara kuku mmoja alikuja kushoto na nilimuona kama demu fulani chuo rafiki kiaina sio sana. Nikawa na mbembeleza kwa kumshika shika mabega ili aniamini niingie nae ndani nimchinje.
Kisu sikukiona tena, na nilishtuka.
Niambieni ina maana au tu ni shibe?
Msaada pls.
Nimeota Bi Mkubwa kanipa kisu nikakamate kuku nichinje. Ile kutoka nikakuta kuku wengi ila sasa nikawaza kuwakamata kwa kuwakimbiza ni ujinga, nikapata wazo nikae nifanye kama nawapa msosi ili wasogee.
Hapo nikita kisu kushoto kwangu mara kuku mmoja alikuja kushoto na nilimuona kama demu fulani chuo rafiki kiaina sio sana. Nikawa na mbembeleza kwa kumshika shika mabega ili aniamini niingie nae ndani nimchinje.
Kisu sikukiona tena, na nilishtuka.
Niambieni ina maana au tu ni shibe?