Msaada: Naomba muongozo wa Interview TRA

Jina la mtoa comment linasanifu jinsi alivyo
 
Wewe inaonyesha hajawai kuingia hata darasa la kwanza aisee ndio maana u asema ivyo hali ya maisha ilivyongumu watu wanauza nyapu,wanäroga wapate kazi wewe unasema possible
Samahani kidogo kama ntakua harsh lakin kitendo cha kua umemaliza masomo na unataka ajira then unaomba possible questions sidhani kama ni vizuri
 
Angalia vizur wanaofanya custom wapo waliopangiwa Mwalimu Nyerere
 
Mimi pia nimepangiwa customs Officer-DUCE na tax officer-UDSM...nakuna kichwa hapa sijui itakuwaje
 
Mpaka hapo tumeshakukata, wewe njoo kukamilisha utaratibu. Tutaangalianuandishi wako kuku sort out kwa kuwa unatunia ID fake.
Huna uelewa wa hii kazi

Karibu
 
Naomba unitumie hii
Mkuu sio kweli, ingekua ni ivyo bas pepa ingetoka Institute of Tax Adminstration (ITA) na sio NBAA. Kuna time utumishi hawatoagi vitu vya class mfano ni ile pepa waliyouliza habar za makinikia na development programs i.e AGOA n millenium development goals.

NB
Ni vizuri kupitia notes upate idea ya vitu vingi
 
Samahani kidogo kama ntakua harsh lakin kitendo cha kua umemaliza masomo na unataka ajira then unaomba possible questions sidhani kama ni vizuri

Uko sahihi. Kwa kweli ukifuatilia huu mjadala wote utagundua kuna shida kubwa zaidi.
 
Ni kweli hata mimi niliuona huo mtihani ,ila sometimes hawaeleweki wanaweza kuchanganya pia ,vilevile ukifanikiwa kwenda oral kule ni maswali ya customs tu kwaio ni vizuri kupitia

Hio pdf inamambo yote ya taxation na customs ndicho anachomanisha hata hao ITA na uhakika walimu hua wanatumia hizo notes za NBAA wengi wao wamepitia huko
 
Mjomba usikalili toka ilo pepa lililopigwa kikanda lipite TRA wameishaita tena kama mara mbili na maswali yote wanauliza notes za Tax na customs za darasan mfano kwenye customs waliuliza bill of exchange, bill of landing , ili utoe mizigo bandarin zinaitajika document gani muhimu, wharf ni nn , Hao ITA baba lao ni NBAA mkuu mwisho current issue pia muhimu kupitia
 
Sahihi mkuu asilimia 100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…