Magilah Member Joined Mar 26, 2020 Posts 19 Reaction score 14 Mar 29, 2021 #1 Msaada anayejua program ya kulock folder kwenye computer. Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Msaada anayejua program ya kulock folder kwenye computer. Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
X_INTELLIGENCE JF-Expert Member Joined Mar 25, 2014 Posts 10,708 Reaction score 14,799 Mar 29, 2021 #2 Jaribu hilo hapo chini, lakini ukiwa una liinstal hakikisha umezima network kusiwe na internet.
Forgotten JF-Expert Member Joined Jul 20, 2018 Posts 3,630 Reaction score 11,098 Mar 29, 2021 #3 Tumia AnviFolder
Rusumo one JF-Expert Member Joined Oct 4, 2018 Posts 3,539 Reaction score 4,440 Mar 29, 2021 #4 Lazima pc iwe na net wakati una lock?
ymollel JF-Expert Member Joined Aug 23, 2012 Posts 3,095 Reaction score 2,291 Mar 29, 2021 #5 Magilah said: Msaada anayejua program ya kulock folder kwenye computer. Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app Click to expand... Tumia Winrar wakati una Zip file au Folder unaenda adavanced na kuweka possword. Itakudai password kila wakati unapotaka kulifungua au kuExtract.
Magilah said: Msaada anayejua program ya kulock folder kwenye computer. Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app Click to expand... Tumia Winrar wakati una Zip file au Folder unaenda adavanced na kuweka possword. Itakudai password kila wakati unapotaka kulifungua au kuExtract.
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,133 Reaction score 43,820 Mar 29, 2021 #6 ymollel said: Tumia Winrar wakati una Zip file au Folder unaenda adavanced na kuweka possword. Itakudai password kila wakati unapotaka kulifungua au kuExtract. Click to expand... Hii ni much better kama hujali kuzip na ku unzip, Njia za kawaida za kufunga mafolder ni encryption wengi Wanaingia kichwa kichwa siku akitoa ile programs anakosa data zote, sometime hata ukirudisha tena program key Inakuwa imepotea na program haijui kuyafungua mafolder.
ymollel said: Tumia Winrar wakati una Zip file au Folder unaenda adavanced na kuweka possword. Itakudai password kila wakati unapotaka kulifungua au kuExtract. Click to expand... Hii ni much better kama hujali kuzip na ku unzip, Njia za kawaida za kufunga mafolder ni encryption wengi Wanaingia kichwa kichwa siku akitoa ile programs anakosa data zote, sometime hata ukirudisha tena program key Inakuwa imepotea na program haijui kuyafungua mafolder.
Magilah Member Joined Mar 26, 2020 Posts 19 Reaction score 14 Mar 29, 2021 Thread starter #7 Forgotten said: Tumia AnviFolder Click to expand... Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Forgotten said: Tumia AnviFolder Click to expand... Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Magilah Member Joined Mar 26, 2020 Posts 19 Reaction score 14 Mar 29, 2021 Thread starter #8 ymollel said: Tumia Winrar wakati una Zip file au Folder unaenda adavanced na kuweka possword. Itakudai password kila wakati unapotaka kulifungua au kuExtract. Click to expand... Ok mkuu Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
ymollel said: Tumia Winrar wakati una Zip file au Folder unaenda adavanced na kuweka possword. Itakudai password kila wakati unapotaka kulifungua au kuExtract. Click to expand... Ok mkuu Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app