Msaada: NAOMBA KUJUA KUHUSU WANAWAKE WA KINGONI

Msaada: NAOMBA KUJUA KUHUSU WANAWAKE WA KINGONI

BUCHANAGANDE

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
1,512
Reaction score
482
Nina omba msaada wa kujua tabia za hawa wadada au wanawake wa kingoni kwa wakle wanaofahamu tu jamani.
Msaada Msaada Msaada marafiki wote wana JF.
 
Mbona kimya jamani wana JF?????????????
Nawasubilini wapendwa
 
Ukisha jua?unataka kuowa au kumchezea?.mngoni jina au yule waMPITIMBI,NAMABENGO,AU WAMATIMILA AU KIZUKA?
 
wachapakaz, heshima ,kujishusha bt kwa upande mwingine 2na asili ya kiburi na jeuri.
 
atajinyongea ndani kwako akiona husomeki,kachukue Rb polisi mapema!!!!!!!!!!!!!
 
Wachawi sana, hasa wakija huku mujini....hawajui kukataaga hawa pindi wakitomgozwa!!
 
Heshima kwenu nyote mlionishauri na mtakaonishauri.
Kwa kweli si siri, wana Jamii Forum baadhi wana ushauri mzuri baadhi tena wachache sana wenye dhihaka na dharau kwa wale wanaotafuta ushauri.Ninyi wa dhihaka naombeni mbadilike jameni huu sio muda wa kudhihakiana hakiana maana ukiona mtu anauliza jambo fulani ujue ana lake la kumsibu.
 
wapole,wenye maadili mazuri lakini si kila king'acho ni dhahabu inategemea alivyolelewa.Hasa malezi bora ni yale ya kidini yanayohimiza upendo,uvumilivu na kuchukuliana,daima mweke Mungu mbele.
 
wachapakaz, wanajua kulea familia vizuri! akiwa mcha Mungu ni bomba sana! Tafahal mdhibiti asiwe mlevi, wakilewa wanatukana balaa. wanayajua mapenzi, ila kwa asili wangoni ni watawala, hawapendi kunyanyaswa wala kutawaliwa ni watu wa haki! ukijifanya mjanja wanakutuliza kwa limbwata!
 
Wana midomo sana, wajuaji, nje wanajifanya wazuri
Lkn ndani ni balaa, walevi, uzuri wao ni wacha wa mungu
 
Waongeaji,wasafi sana wanajua kuweka maeneo clean,sijui kwakuwa wanachezwa!hawajui kuvaa yaani kupiga pamba,ingawa wanajipenda.
 
Back
Top Bottom