Lyagwa
JF-Expert Member
- Feb 3, 2013
- 1,634
- 893
Hi, Jf members
Naomba kujuzwa ni jinsi gani rahisi na nafuu ya kuweza kufika katika visiwa vya Mafia nikitokea Jijini Dar es salaam.
Kama kuna usafiri wa boti (Fast ferries) itakuwa vema pia na ni wapi zinapatikana na kampuni husika, na kama ni ndege (Aeroplane) ni kampuni gani na upatikanaji wake (schedule).
Ni muhimu, Ahsanteni.
Naomba kujuzwa ni jinsi gani rahisi na nafuu ya kuweza kufika katika visiwa vya Mafia nikitokea Jijini Dar es salaam.
Kama kuna usafiri wa boti (Fast ferries) itakuwa vema pia na ni wapi zinapatikana na kampuni husika, na kama ni ndege (Aeroplane) ni kampuni gani na upatikanaji wake (schedule).
Ni muhimu, Ahsanteni.