Mhm!namjua mkaka alikua anaitwa frank mushi ila jina lake la katikati ndo clijui,alimalza chuo 2011 nadhani ndo huko mzumbe{cna uhakika sana ila alikua graduate},alifariki kwa ajali ya gari na tumemzka mwaka jana mwezi huo huo unao usema wewe kijijin kwao masama-kilimanjaro.