Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,237
Endelea na hiyo hiyo ya kishamba kwa kuwa za kijanja hutoziweza
Yote yanawezekana,Tembea uone mkuu kuna makahaba wazuri utazania maraika amepotea njia katokea duniani unakuta hata mke wako anaingia mara100 kwa uzuri wa kahaba huyo nenda mahotel makubwa achana na hawa wa barabarani.
Na ukifika kwenye hayo mahotel hutaishia kuomba mungu akupe huyo kahaba bali utaanza kumlaumu ni kwanini amekuleta uje kuona mtoto mzuri namna hiyo wakati huna uwezo wa kumpata
Mkuu unatumia mtandao ganininayo ila nashindwa kuapload
nshakupm hicho kitabuMkuu unatumia mtandao gani
ma.......ni..na stunter. Hii style bint lazima achanganyikiweMkuu bado haujawahi kuisikia hiyo method?
hiyo ni ile ambayo inaambatana na dharau, majigambo na ubinafsi,
Yani ni ile state ya kuamini kwamba wewe ni bora kuliko yeye, kwahiyo hata awe mzuri kiasi gani lazima ajione hana thamani mbele yako,
na unaweza ukamkosoa au ukamyumbisha kwa kitu chochote tu kisha unakula kona,
kuanzia hapo mwanamke lazima umuachie na mawazo juu yako na ni rahisi sana kung'oa mzigo, mfano unaweza ukamwambia tu
'' Ningekupenda ila unaniudhi unavyovaa magauni, lakini hope utabadilika na ukifanya ivyo utaziteka hisia zangu''
Kwishaa kaziiii yani hapo unakuwa umeshampa kazi ya kuanza kuact vile unavyotaka wewe ili aziteke hisia zako, si unajua tena wanawake wanapenda attention??
Point ya mwisho Ndo kilakituPole sana...
Give her attention but don't be to desperate to win her...
Give her security but don't be a bully for nothing...
Comfort but don't be a lunatic...
Give her pleasure but remember to much of anything is harmful...
Take care of her but don't spoil her to much...
Treat her right keep your eyes open...
Last follow your heart but carry your brain with you...
Cc: mahondaw
Mademu kuwang'oa ni rahisi sana, sema wanaume hatuko seriousma.......ni..na stunter. Hii style bint lazima achanganyikiwe
Hayo mauzo ya nn mkuu..??Kahaba unaweza kumteka tena kwa vitu vidogo kiasi kwamba itafika hatua hata mauzo anakuletea, kwi! Kwi! Kwi!
Na mm pia naisubiria mkuujamani tuelezeeni hiyo law of attraction kwa ufupi
Mkuu ni pm na mm hicho kitabunshakupm hicho kitabu
Tia sana Uongo, mwambie tu hata unamiliki kisima cha mafuta uarabuni. Kamwe usijaribu kuwa mkweli.