Msaada: Namna ya kuset Camera kwa simu

Msaada: Namna ya kuset Camera kwa simu

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,758
Reaction score
9,591
Habarini

Nahitaji msaada nina simu aina ya Google smartphone 748 siwezi kuset camera kwani nikipiga picha inatoa dark na wakati mchana na wakati mwingine inakuwa haionekani picha vizuri kwa mtu anayejua anisaidie namna ya kusetting na namna ya kupata app. za jamiiforum pls
 
Ondoa nailon hizo! Ndio zinaziba camera, kisha kanunue screen guard kuilinda simu yako na mikwaruzo.hakuna setting yoyote hapo.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
nimeshaweka screen protector na nimeshaondoa nairon haina nairon bali inasumbua nkpiga picha bado tatizo linakuwa ni palepale mkuu, labda nirudishe kule nilikonunulia wanisaidie kuset
Ondoa nailon hizo! Ndio zinaziba camera, kisha kanunue screen guard kuilinda simu yako na mikwaruzo.hakuna setting yoyote hapo.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
nimeshaweka screen protector na nimeshaondoa nairon haina nairon bali inasumbua nkpiga picha bado tatizo linakuwa ni palepale mkuu, labda nirudishe kule nilikonunulia wanisaidie kuset

Kumbe jibu unalo unakuja jf kusumbua.
 
aina yake ni google 748

ngoja nijaribu tena kufungua play store nifuatishe hayo maelekezo

asante daddy
Hebu hakikisha tena jina la simu yako...



Katika simu yako, fungua application ya "Play Store" na kutokea hapo search "JamiiForums"...download and install in ya phone.
 
nitaitambuaje kama sio genuine? niambie nifanyeje nitambue?
Mmmh!!!

Sorry if i may mention this, hiyo simu nadhani si genuine endapo yo keep on insisting kuwa hilo ndio jinale.
 
nitaitambuaje kama sio genuine? niambie nifanyeje nitambue?

Umetaja kuwa simu yako ni Google 748...

Najaribu ku-google jina hilo lakini search results halileti kitu chochote kinachohusiana na simu...

So just imagine kama google search inashindwa kutambua aina ya simu ya google, huoni hapo kuwa kuna mushkeli?

Anyway hebu fanya hivi,

1. Katika simu yako bonyeza kitufe cha "Settings"

Screenshot_2013-09-15-14-24-01.png



2. Halafu tafuta mahali palipoandikwa "About device", bonyeza hapo.

image0045.gif



3. Halafu tafuta mahali palipoandikwa "Model Number", ukiiona hiyo model number iandike hapa

GT-9505G-android43.jpg
 
Asante daddy nifuatishe haya maelekezo

be blessed
umetaja kuwa simu yako ni google 748...

Najaribu ku-google jina hilo lakini search results halileti kitu chochote kinachohusiana na simu...

So just imagine kama google search inashindwa kutambua aina ya simu ya google, huoni hapo kuwa kuna mushkeli?

Anyway hebu fanya hivi,

1. Katika simu yako bonyeza kitufe cha "settings"

screenshot_2013-09-15-14-24-01.png



2. Halafu tafuta mahali palipoandikwa "about device", bonyeza hapo.

image0045.gif



3. Halafu tafuta mahali palipoandikwa "model number", ukiiona hiyo model number iandike hapa

gt-9505g-android43.jpg
 
nimeshaweka screen protector na nimeshaondoa nairon haina nairon bali inasumbua nkpiga picha bado tatizo linakuwa ni palepale mkuu, labda nirudishe kule nilikonunulia wanisaidie kuset

Sasa tukusaidie nn wakt umejjbu hapo..!! Jerk
 
asante daddy nimefanikiwa nashukuru Mungu akubariki sana tena sana kwa msaada wako
Umetaja kuwa simu yako ni Google 748...

Najaribu ku-google jina hilo lakini search results halileti kitu chochote kinachohusiana na simu...

So just imagine kama google search inashindwa kutambua aina ya simu ya google, huoni hapo kuwa kuna mushkeli?

Anyway hebu fanya hivi,

1. Katika simu yako bonyeza kitufe cha "Settings"

2. Halafu tafuta mahali palipoandikwa "About device", bonyeza hapo.

3. Halafu tafuta mahali palipoandikwa "Model Number", ukiiona hiyo model number iandike hapa
 
Inquiry yako bado ina utata ndo maana hupati msaada wa maana. Jina la simu sio sahihi hilo (labda ni google nexus, am just guessing coz umeinsist ni google), pili camera yake ina megapixel ngapi? Tatu, anagalia tena vizuri kwenye lens ya camera. Huwa kuna ka kanylon kembambaa sana na kapo around lens pekee. Usipoangalia vizuri huwezi jua kama kapo kanaonekana kama kioo ( kwa simu original). Jiridhishe kwa kufanya kama unakwangua na kucha au kitu chenye ncha lakini kwa umakini.
 
Inquiry yako bado ina utata ndo maana hupati msaada wa maana. Jina la simu sio sahihi hilo (labda ni google nexus, am just guessing coz umeinsist ni google), pili camera yake ina megapixel ngapi? Tatu, anagalia tena vizuri kwenye lens ya camera. Huwa kuna ka kanylon kembambaa sana na kapo around lens pekee. Usipoangalia vizuri huwezi jua kama kapo kanaonekana kama kioo ( kwa simu original). Jiridhishe kwa kufanya kama unakwangua na kucha au kitu chenye ncha lakini kwa umakini.

Mimi nahisi amekosea jina kidogo. Nimeona simu kama hiyo ni Vodafone 748 inauzwa na kampuni ya tigo. Ila ukiiangalia nyuma ya housing wameandika Google pamoja na nembo ya vodafone. Ina 5MP camera, 2 GB internal memory( card slot ipo inasupport 32 GB, ila wanauza bila kadi), RAM 512, inarun andrioid 4.2.2 Jellybean. Kama ni hiyo ndio hivyo kwa ufupi.
 
asante daddy nimefanikiwa nashukuru Mungu akubariki sana tena sana kwa msaada wako

Hujaniandikia hiyo "Model Number" kama nilivyoomba uiandike...

Au uliipeleka simu yako mahali uliponunua wakakusaidia?
 
Back
Top Bottom