hasa kwa wale tulio apply kwa vyuo vingine kama udsm, udom na saut kwa ngazi ya diploma inakuaje????Ingia kwenye profile yako, wakti unaweka password Kuna sehemu imeandikwa 'forget password' bonyeza hapo!! Kisha itafunguka inakuambia uweke code uliotumiwa wakati umefanya malipo! Unaingiiza kixha unawka password mpya!
Simple tu ivyo yani
yote yako humohasa kwa wale tulio apply kwa vyuo vingine kama udsm, udom na saut kwa ngazi ya diploma inakuaje????
Rudi kwnye email yko kaangalie tena kama ile message yenye username na pasword uliifuta tafuta sehemu iliyoandikwa bin utaipataemail iko waz but cjaona lolote
Ni vitambulisho gani vinahitajikaKama umesahau wasiliana nao kwa simu ila hasahasa nenda ofisi ya kanda na vitambulisho vyako mapema wanaweza kukusaidia kwani mwaka jana kuna mmoja alisahau password yake akawasiliana na ndugu yake pale Dar aende NACTE na aliweza kupata hiyo password kupitia huyo ndugu.
Hio code nayo ukiwa umesahau sasa😥Ingia kwenye profile yako, wakti unaweka password Kuna sehemu imeandikwa 'forget password' bonyeza hapo!! Kisha itafunguka inakuambia uweke code uliotumiwa wakati umefanya malipo! Unaingiiza kixha unawka password mpya!
Simple tu ivyo yani