Msaada namna ya kupata notifications kwenye samsung galaxy C8

Lokii

JF-Expert Member
Sep 23, 2016
709
2,084
Wadau tangu nimenunua hii simu huwa sipati notification za apps hata kama nimewasha data ni mpaka nifungue app. Mi nimezoea ukiwasha tu data notifications za app mbalimbali zinaanza ku-pop up kwenye screen panel lakini kwa hii simu naona ni tofauti, hata kama data ipo on notifications haziji mpaka nifungue app ndo niweze kupata notification za app husika. Nimejaribu kuchek settings lakini naona kama zipo sawa au ni simu yenyewe ndo ilivyo
 
Nenda kwenye App ambayo unataka uwe unapata notification zake, ingia setting halafu utakutana na notification, hapo sasa nadhani utaweza kutibu tatizo lako
 
Nenda kwenye App ambayo unataka uwe unapata notification zake, ingia setting halafu utakutana na notification, hapo sasa nadhani utaweza kutibu tatizo lako
Nishafanya hivyo mkuu lakini sipati matokeo
 
Ingia settings > notifications > then apps zote ziruhusu kupokea notifications (allow notifications)
 
Ingia settings > notifications > then apps zote ziruhusu kupokea notifications (allow notifications)
Nimeset hivyo kitambo mkuu
Screenshot_20201017-125157_Settings.jpg
 
Mara nyingi hili tatizo huletwa na kuto allow background task.

1. Nenda setting kisha battery hakikisha battery server yoyote haipo on.

2. Angalia kama developer option ipo on. Kama ipo on hakikisha background task zipo enabled.

3. Angalia kama hujaweka do not disturb, vuta pazia la notification hakikisha do not disturb ipo off.
 
Duh, umeapply PopUp notification?
Ndio, mkuu kama umeielewa mada vizuri sio kwamba sipati notifications nazipata ila ni mpaka niwe nimefungua hiyo app. Mi nataka nikiwasha data tu bila hata kufungua app nipate notification
 
Ndio, mkuu kama umeielewa mada vizuri sio kwamba sipati notifications nazipata ila ni mpaka niwe nimefungua hiyo app. Mi nataka nikiwasha data tu bila hata kufungua app nipate notification
aisee, basi jaribu kuapply highly priority notification
 
Wadau tangu nimenunua hii simu huwa sipati notification za apps hata kama nimewasha data ni mpaka nifungue app. Mi nimezoea ukiwasha tu data notifications za app mbalimbali zinaanza ku-pop up kwenye screen panel lakini kwa hii simu naona ni tofauti, hata kama data ipo on notifications haziji mpaka nifungue app ndo niweze kupata notification za app husika. Nimejaribu kuchek settings lakini naona kama zipo sawa au ni simu yenyewe ndo ilivyo
permission umenyima
 
Mara nyingi hili tatizo huletwa na kuto allow background task.

1. Nenda setting kisha battery hakikisha battery server yoyote haipo on.

2. Angalia kama developer option ipo on. Kama ipo on hakikisha background task zipo enabled.

3. Angalia kama hujaweka do not disturb, vuta pazia la notification hakikisha do not disturb ipo off.
Hiyo battery saver ndo nimeikuta ON nikaweka OFF, Do not disturb iko OFF, hiyo developer option sijafanikiwa kuiona ila bado sijapata matokeo
 
Back
Top Bottom