Msaada; Namna ya kupata leseni ya biashara

dimaa

JF-Expert Member
Jul 30, 2016
4,012
5,419
Habari zenu ndugu zangu,

Nadhani humu tuna wataalam wengi tu wakiwemo watu wa TRA, kuna duka nataka kufungua la jumla na rejareja, sasa kwa wale wanaojua gharama za kupata leseni na mlolongo wake ulivyo tujuzane hapa.

By

Young

Dimaa.
 
Habari zenu ndugu zangu,

Nadhani humu tuna wataalam wengi tu wakiwemo watu wa TRA , kuna duka nataka kufungua la jumla na rejareja , sasa kwa wale wanaojua gharama za kupata leseni na mlolongo wake ulivyo tujuzane hapa.

By

Young

Dimaa.
Nenda Halmashauri ya eneo ulilopo
 
Back
Top Bottom